Pregnancy Aug 12, 2024

Je, ni sawa kufanya ngono wakati wa ujauzito?

Medikea Doctor

Medikea Doctor

Medical Expert

3411
Je, ni sawa kufanya ngono wakati wa ujauzito?

Kwa kawaida mwanamke mjamzito anapitia mabadaliko mbalimbali. Mabadiliko hayo yanaweza kuathiri uwezo wa mwanamke kukutana kimwili.

Kama mimba inakuwa bila matatizo yoyote mama ana unaweza kufanya ngono mara nyingi kadri apendanvyo.

Baadhi ya wanawake hamu ya kukutana kimwili hupungua katika miezi mitatu ya mwanzo ya ujauzito. Hali hii husababishwa na kushuka kwa homoni, uchovu na kichefuchefu.

Miezi mitatu mpaka miezi sita ya ujazito, mtiririko wa damu unaongezeka kwenye viungo vyake vya viuzazi hali ambayo huweza kuamsha hisia za mapenzi.

Lakini kutokana na kuongezeka kwa uzito wa mwili, maumivu ya mgongo na dalili nyingine zinaweza kupunguza tena shauku yake ya ngono.

Kwa wanandoa ni muhimu kutambua kuwa kutokana na mabadiliko hayo kuwa wakati mwanamke anakuwa hayuko tayari kukutana kimwili. Lakini hali hii haitadumu wakati wote wa ujauzito.

Related Articles

Dalili za Mimba Wiki ya Kwanza
Pregnancy

Dalili za Mimba Wiki ya Kwanza

Ujauzito ni mchakato wa kibaiologia ambao unahusisha mabadiliko makubwa katika mwili wa mwanamke. Katika wiki ya kwanza, ...

8025
Feb 25, 2025
Read More
Jinsi ya Kupunguza Kichefuchefu na Kutapika wakati wa Ujauzito
Pregnancy

Jinsi ya Kupunguza Kichefuchefu na Kutapika wakati wa Ujauzito

Jifunze njia za kupunguza Kichefuchefu na Kutapika wakati wa Ujauzito⁣

6734
Aug 28, 2024
Read More
Je ni sawa kuendelea kunyonyesha mtoto wakati una mimba nyingine?
Pregnancy

Je ni sawa kuendelea kunyonyesha mtoto wakati una mimba nyingine?

Makala hii inaelezea kwa kina zaidi⁣

5806
Aug 28, 2024
Read More

More Health Insights

Kwa Nini Mama Mjamzito Hapaswi Kulala Chali?
Pregnancy

Kwa Nini Mama Mjamzito Hapaswi Kulala Chali?

Ujauzito unakuja na changamoto tofauti kutokana na mabadiliko ya mwili yanayotokea. Soma makala hii kujifunza!

3363
Aug 12, 2024
Read More
Kupungua Kwa Kumbukumbu: Sababu Na Jinsi Ya Kukabiliana Nayo
Chronic diseases

Kupungua Kwa Kumbukumbu: Sababu Na Jinsi Ya Kukabiliana Nayo

Una wasiwasi kuhusu kupungua kwa kumbukumbu kwako au kwa mpendwa? Pata ushauri wa kitaalam kupitia application ya afya y ...

851
Feb 25, 2025
Read More
Fahamu dalili na tiba za ugonjwa wa kisukari
Men

Fahamu dalili na tiba za ugonjwa wa kisukari

Ufahamu ugonjwa wa kisukari

12986
Nov 6, 2023
Read More