Pregnancy Aug 12, 2024

Je, ni sawa kufanya ngono wakati wa ujauzito?

Medikea Doctor

Medikea Doctor

Medical Expert

1802
Je, ni sawa kufanya ngono wakati wa ujauzito?

Kwa kawaida mwanamke mjamzito anapitia mabadaliko mbalimbali. Mabadiliko hayo yanaweza kuathiri uwezo wa mwanamke kukutana kimwili.

Kama mimba inakuwa bila matatizo yoyote mama ana unaweza kufanya ngono mara nyingi kadri apendanvyo.

Baadhi ya wanawake hamu ya kukutana kimwili hupungua katika miezi mitatu ya mwanzo ya ujauzito. Hali hii husababishwa na kushuka kwa homoni, uchovu na kichefuchefu.

Miezi mitatu mpaka miezi sita ya ujazito, mtiririko wa damu unaongezeka kwenye viungo vyake vya viuzazi hali ambayo huweza kuamsha hisia za mapenzi.

Lakini kutokana na kuongezeka kwa uzito wa mwili, maumivu ya mgongo na dalili nyingine zinaweza kupunguza tena shauku yake ya ngono.

Kwa wanandoa ni muhimu kutambua kuwa kutokana na mabadiliko hayo kuwa wakati mwanamke anakuwa hayuko tayari kukutana kimwili. Lakini hali hii haitadumu wakati wote wa ujauzito.

Related Articles

Dalili za Mimba Wiki ya Kwanza
Pregnancy

Dalili za Mimba Wiki ya Kwanza

Ujauzito ni mchakato wa kibaiologia ambao unahusisha mabadiliko makubwa katika mwili wa mwanamke. Katika wiki ya kwanza, ...

622
Feb 25, 2025
Read More
Jinsi ya Kupunguza Kichefuchefu na Kutapika wakati wa Ujauzito
Pregnancy

Jinsi ya Kupunguza Kichefuchefu na Kutapika wakati wa Ujauzito

Jifunze njia za kupunguza Kichefuchefu na Kutapika wakati wa Ujauzito⁣

4292
Aug 28, 2024
Read More
Je ni sawa kuendelea kunyonyesha mtoto wakati una mimba nyingine?
Pregnancy

Je ni sawa kuendelea kunyonyesha mtoto wakati una mimba nyingine?

Makala hii inaelezea kwa kina zaidi⁣

3616
Aug 28, 2024
Read More

More Health Insights

Jinsi ya Kupunguza Stress
Wellness

Jinsi ya Kupunguza Stress

Una dalili za stress na unahitaji ushauri wa kitaalam? Wasiliana na madaktari wetu kupitia programu ya Medikea. Tutakusa ...

115
Feb 25, 2025
Read More
Ugonjwa wa Pumu: Vihatarishi, Dalili na Matibabu
Watoto

Ugonjwa wa Pumu: Vihatarishi, Dalili na Matibabu

Je wajua? Katika Tanzania, pumu ni tatizo kubwa la afya ya umma. Utafiti unaonyesha kuwa asilimia 10% hadi 20% ya watoto ...

851
Feb 26, 2024
Read More
Probiotics: Je, Zinaweza Kuzuia au Kutibu U.T.I?
Chronic diseases

Probiotics: Je, Zinaweza Kuzuia au Kutibu U.T.I?

Probiotics na U.T.I.⁣

669
Oct 31, 2024
Read More