Pregnancy Aug 12, 2024

Je, ni sawa kufanya ngono wakati wa ujauzito?

Medikea Doctor

Medikea Doctor

Medical Expert

1350
Je, ni sawa kufanya ngono wakati wa ujauzito?

Kwa kawaida mwanamke mjamzito anapitia mabadaliko mbalimbali. Mabadiliko hayo yanaweza kuathiri uwezo wa mwanamke kukutana kimwili.

Kama mimba inakuwa bila matatizo yoyote mama ana unaweza kufanya ngono mara nyingi kadri apendanvyo.

Baadhi ya wanawake hamu ya kukutana kimwili hupungua katika miezi mitatu ya mwanzo ya ujauzito. Hali hii husababishwa na kushuka kwa homoni, uchovu na kichefuchefu.

Miezi mitatu mpaka miezi sita ya ujazito, mtiririko wa damu unaongezeka kwenye viungo vyake vya viuzazi hali ambayo huweza kuamsha hisia za mapenzi.

Lakini kutokana na kuongezeka kwa uzito wa mwili, maumivu ya mgongo na dalili nyingine zinaweza kupunguza tena shauku yake ya ngono.

Kwa wanandoa ni muhimu kutambua kuwa kutokana na mabadiliko hayo kuwa wakati mwanamke anakuwa hayuko tayari kukutana kimwili. Lakini hali hii haitadumu wakati wote wa ujauzito.

Related Articles

Dalili Za Mimba Wiki Ya Kwanza
Pregnancy

Dalili Za Mimba Wiki Ya Kwanza

Ujauzito ni mchakato wa kibaiologia ambao unahusisha mabadiliko makubwa katika mwili wa mwanamke. Katika wiki ya kwanza, ...

273
Feb 25, 2025
Read More
Jinsi ya Kupunguza Kichefuchefu na Kutapika wakati wa Ujauzito
Pregnancy

Jinsi ya Kupunguza Kichefuchefu na Kutapika wakati wa Ujauzito

Jifunze njia za kupunguza Kichefuchefu na Kutapika wakati wa Ujauzito⁣

3604
Aug 28, 2024
Read More
Je ni sawa kuendelea kunyonyesha mtoto wakati una mimba nyingine?
Pregnancy

Je ni sawa kuendelea kunyonyesha mtoto wakati una mimba nyingine?

Makala hii inaelezea kwa kina zaidi⁣

2980
Aug 28, 2024
Read More

More Health Insights

Mpox: Dalili, Kinga, na Hatua za Kuchukua
Viral diseases

Mpox: Dalili, Kinga, na Hatua za Kuchukua

Mpox ni ugonjwa wa virusi uliokuwa gumzo hivi karibuni nchini Tanzania. Je, unazijua dalili na njia za kujikinga? Soma z ...

212
Mar 12, 2025
Read More
Intermittent Fasting Ni Nini
Afya na Lishe

Intermittent Fasting Ni Nini

Maudhui haya yanazungumzia intermittent fasting (IF), mbinu ya kula ambayo inahusisha vipindi vya kula na kufunga, na fa ...

0
Mar 28, 2025
Read More
Wegovy (Ozempic): Dawa mpya za kupunguza uzito, inafanya kazi? Je ni salama?
Wellness

Wegovy (Ozempic): Dawa mpya za kupunguza uzito, inafanya kazi? Je ni salama?

Ozempic, wegovy, maunjaro na dawa nyingine za kupunguza uzito

636
Aug 9, 2024
Read More